sw_tn/pro/13/21.md

403 B

msiba huwakimbilia watenda dhambi

"mwenye dhambi hupata taabu popote wanapokwenda"

watu wenye haki hupewa thawabu ya mema

"Mungu huwapa thawabu watu wenye haki kwa mema"

wajukuu wake

"wana wa wana wake"au "watoto wa watoto wake" au "wazao wake"

utajiri wa mwenye dhambi umehifadhiwa kwa ajili ya mtu mwenye haki

" yeye atendaye haki atapokea utajiri ambao umahifadhiwa na mwenye dhambi"