forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
594 B
Markdown
28 lines
594 B
Markdown
# utajiri hudhoofika
|
|
|
|
"utajiri hupungua" au "utajiri hupotea taratibu "
|
|
|
|
# kufanya kazi kwa mkono wake
|
|
|
|
"kufanya kazi kwa nguvu za mwili"
|
|
|
|
# hufanya fedha yake istawi
|
|
|
|
"hufanya pesa yake iongezeke"
|
|
|
|
# wakati tumaini linapositishwa
|
|
|
|
"wakati mtu anapotumaini kwa ajili ya jambo lakini hapokei hadi muda mrefu"
|
|
|
|
# huvunja moyo
|
|
|
|
"husababisha huzuni kali"
|
|
|
|
# shauku ikitimizwa ni mti wa uzima
|
|
|
|
mtu akipokea ambacho alitumaini na kufurahi ni kama mti unaotoa uzima. "shauku iliyotimizwa ni kama mti wa uzima"
|
|
|
|
# mti wa uzima
|
|
|
|
"mti ambao unatoa uzima" au "mti ambao mtunda yake hutoa idhini ya uzima"
|