sw_tn/pro/13/11.md

594 B

utajiri hudhoofika

"utajiri hupungua" au "utajiri hupotea taratibu "

kufanya kazi kwa mkono wake

"kufanya kazi kwa nguvu za mwili"

hufanya fedha yake istawi

"hufanya pesa yake iongezeke"

wakati tumaini linapositishwa

"wakati mtu anapotumaini kwa ajili ya jambo lakini hapokei hadi muda mrefu"

huvunja moyo

"husababisha huzuni kali"

shauku ikitimizwa ni mti wa uzima

mtu akipokea ambacho alitumaini na kufurahi ni kama mti unaotoa uzima. "shauku iliyotimizwa ni kama mti wa uzima"

mti wa uzima

"mti ambao unatoa uzima" au "mti ambao mtunda yake hutoa idhini ya uzima"