forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
370 B
Markdown
20 lines
370 B
Markdown
# Mwana mwenye busara husikia
|
|
|
|
"Mwana mwenye busara hutii"
|
|
|
|
# hatasikiliza karipio
|
|
|
|
"hatajifunza kutokana na kukaripiwa" au "hataweza kutii japo atakaripiwa"
|
|
|
|
# kutoka kwenye matunda ya kinywa chake
|
|
|
|
"kutoka kwenye maneno ya kinywa chake " au "kutokana na usemi wake"
|
|
|
|
# hamu
|
|
|
|
shauku au kupendelea kitu
|
|
|
|
# waongo
|
|
|
|
wale ambao wapo tayari kusaliti au kuwadanganya wengine
|