sw_tn/pro/13/01.md

370 B

Mwana mwenye busara husikia

"Mwana mwenye busara hutii"

hatasikiliza karipio

"hatajifunza kutokana na kukaripiwa" au "hataweza kutii japo atakaripiwa"

kutoka kwenye matunda ya kinywa chake

"kutoka kwenye maneno ya kinywa chake " au "kutokana na usemi wake"

hamu

shauku au kupendelea kitu

waongo

wale ambao wapo tayari kusaliti au kuwadanganya wengine