sw_tn/pro/12/05.md

290 B

maneno ya watu wabaya ni uviziaji kwa ajili ya kuua

"mabo ya udanganyifu ambayo watu waovu huyasema ni kama mtu anayevizia kuua mtu kwa kushitukiza"

maneno ya waadilifu huwahifadhi salama

"ushauri kutoka kwa mtu mwadilifu huwahifadhi watu salama"

waadilifu

wenye haki, waaminifu