forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
470 B
Markdown
16 lines
470 B
Markdown
# Mtu hawezi kuimarishwa kwa ubaya
|
|
|
|
"hakuna mtu anayeweza kuwa thabiti na salama kwa kufanya ubaya"
|
|
|
|
# hataweza kung'olewa
|
|
|
|
"kung'olewa" kunawakilisha kuchomolewa kutoka ardhini kama mmea au mti. Hivyo hili haliwezi kutokea kwa watu watendao haki.
|
|
|
|
# mke mwema ni taji ya mume wake
|
|
|
|
"mke mwema ni alama ya heshima kuu kwa mume wake"
|
|
|
|
# yeye aletaye aibu ni kama ugonjwa ambao huozesha mifupa yake
|
|
|
|
"matendo ya aibu ya mwanake huharibu ushawishi wa mume wake na furaha"
|