sw_tn/pro/12/03.md

470 B

Mtu hawezi kuimarishwa kwa ubaya

"hakuna mtu anayeweza kuwa thabiti na salama kwa kufanya ubaya"

hataweza kung'olewa

"kung'olewa" kunawakilisha kuchomolewa kutoka ardhini kama mmea au mti. Hivyo hili haliwezi kutokea kwa watu watendao haki.

mke mwema ni taji ya mume wake

"mke mwema ni alama ya heshima kuu kwa mume wake"

yeye aletaye aibu ni kama ugonjwa ambao huozesha mifupa yake

"matendo ya aibu ya mwanake huharibu ushawishi wa mume wake na furaha"