sw_tn/pro/12/01.md

288 B

Maelezo ya Jumla

Mwandishi anatumia ulinganifu katika sura hii yote

Maelezo ya Jumla

katika mistari ya 1-15 analinganisha hekima na upumbavu

yeyoye

"mtu yeyote ambaye"

yule achukiaye sahihisho

"mtu ambaye hataki kuambiwa jambo la kufanya"

ni mpumbavu

"asiye na busara"