sw_tn/pro/12/01.md

20 lines
288 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Mwandishi anatumia ulinganifu katika sura hii yote
# Maelezo ya Jumla
katika mistari ya 1-15 analinganisha hekima na upumbavu
# yeyoye
"mtu yeyote ambaye"
# yule achukiaye sahihisho
"mtu ambaye hataki kuambiwa jambo la kufanya"
# ni mpumbavu
"asiye na busara"