sw_tn/pro/10/31.md

300 B

kwenye kinywa cha mtu mwenye haki

"Kwa maneno ya mtu mwenye haki"

ulimi wa udanganyifu utakatwa

"Mungu atafunga vinywa vya watu amabo husema uongo"

midomo ya mwenye haki huyajua yanayokubalika

"mtu mwenye haki hujua kuongoa kwa namna ya kukubalika"

kinywa cha waovu

"maneno ya waovu"