sw_tn/pro/10/16.md

337 B

mshahara..faida

Haya ni matokea ya kuteda mema au uovu

Kuna njia ya kwenda kwenye uzima kwa yule ambaye hufuata maonyo

"Mtu ambaye hutii mafundisho ya busara atakuwa mwenye furaha na maisha marefu"

lakini yule ambaye hukataa kurudiwa huelekea kupotea

"lakini yule ambaye hatii mafundisho ya busara hatakuwa na maisha mazuri"