forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
371 B
Markdown
16 lines
371 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari mingi katika sura ya 10 niulingafu sambamba
|
|
|
|
# mithali za Sulemani
|
|
|
|
Baada ya utangulizi katika Sura 1-9, Sura ya 10 inaanza mafundisho ya mithali; misemo mifupi inayofundisha hekima.
|
|
|
|
# kusanywa
|
|
|
|
jipatia kitu kwa kipindi
|
|
|
|
# Yahwe hataiacha nafsi ya mtu mwenye haki kwenda njaa
|
|
|
|
"Yahwe huhakikisha kwamba wale watendao haki wanapata chakula"
|