sw_tn/pro/10/01.md

371 B

Maelezo ya Jumla

Mistari mingi katika sura ya 10 niulingafu sambamba

mithali za Sulemani

Baada ya utangulizi katika Sura 1-9, Sura ya 10 inaanza mafundisho ya mithali; misemo mifupi inayofundisha hekima.

kusanywa

jipatia kitu kwa kipindi

Yahwe hataiacha nafsi ya mtu mwenye haki kwenda njaa

"Yahwe huhakikisha kwamba wale watendao haki wanapata chakula"