sw_tn/pro/09/07.md

645 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii inaendeleza ujumbe wa Hekima

Mwenye kumwadibisha... wenye kumkemea

Tungo zote mbili zina maana sawa.

mwenye dhihaka

"mtu anayetukana watu wengine" au " mtu ambaye anapenda kuwafanya watu wengine waonekane wabaya"

hupokea matusi

"hupokea matendo ya kikatili"

mwenye kumkemea

"mtu yeyote anayemwelekeza"

usimkosoe

"usimwelekeze"

mkosoe mtu mwenye busara, na yeye...mfundishe mtu menye haki na yeye

'Kama utamwelimisha mtu mwenye busara, yeye...kama utamfundisha mtu mwenye haki , yeye"

mkosoe mtu mwenye busara...mfundishe mtu menye haki

Hivi virai viwili kimsingi vinasema jambo moja.