forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
645 B
Markdown
32 lines
645 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaendeleza ujumbe wa Hekima
|
||
|
|
||
|
# Mwenye kumwadibisha... wenye kumkemea
|
||
|
|
||
|
Tungo zote mbili zina maana sawa.
|
||
|
|
||
|
# mwenye dhihaka
|
||
|
|
||
|
"mtu anayetukana watu wengine" au " mtu ambaye anapenda kuwafanya watu wengine waonekane wabaya"
|
||
|
|
||
|
# hupokea matusi
|
||
|
|
||
|
"hupokea matendo ya kikatili"
|
||
|
|
||
|
# mwenye kumkemea
|
||
|
|
||
|
"mtu yeyote anayemwelekeza"
|
||
|
|
||
|
# usimkosoe
|
||
|
|
||
|
"usimwelekeze"
|
||
|
|
||
|
# mkosoe mtu mwenye busara, na yeye...mfundishe mtu menye haki na yeye
|
||
|
|
||
|
'Kama utamwelimisha mtu mwenye busara, yeye...kama utamfundisha mtu mwenye haki , yeye"
|
||
|
|
||
|
# mkosoe mtu mwenye busara...mfundishe mtu menye haki
|
||
|
|
||
|
Hivi virai viwili kimsingi vinasema jambo moja.
|