forked from WA-Catalog/sw_tn
456 B
456 B
Nilikuwa ubavuni wake
Hekima anasema alikuwa karibu na Yahwe, kumaanisha kuwa alikuwa msaidizi wake katika kuumba dunia.
fundistadi mjuzi
Huyu ni mtu amabye aliyefundishwa kwa miaka kutengeneza vitu vizuri kwa matumizi kama samani au nyumba
furaha
chanzo cha raha au sababu ya kufurahi
siku kwa siku
"muda wote"
dunia yake yote
"ulimwengu wote alioumba" au " aliumba kila kitu"
wana wa wanadamu
"watu aliowaleta kuishi ulimwenguni"