sw_tn/pro/08/30.md

456 B

Nilikuwa ubavuni wake

Hekima anasema alikuwa karibu na Yahwe, kumaanisha kuwa alikuwa msaidizi wake katika kuumba dunia.

fundistadi mjuzi

Huyu ni mtu amabye aliyefundishwa kwa miaka kutengeneza vitu vizuri kwa matumizi kama samani au nyumba

furaha

chanzo cha raha au sababu ya kufurahi

siku kwa siku

"muda wote"

dunia yake yote

"ulimwengu wote alioumba" au " aliumba kila kitu"

wana wa wanadamu

"watu aliowaleta kuishi ulimwenguni"