forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
456 B
Markdown
24 lines
456 B
Markdown
|
# Nilikuwa ubavuni wake
|
||
|
|
||
|
Hekima anasema alikuwa karibu na Yahwe, kumaanisha kuwa alikuwa msaidizi wake katika kuumba dunia.
|
||
|
|
||
|
# fundistadi mjuzi
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mtu amabye aliyefundishwa kwa miaka kutengeneza vitu vizuri kwa matumizi kama samani au nyumba
|
||
|
|
||
|
# furaha
|
||
|
|
||
|
chanzo cha raha au sababu ya kufurahi
|
||
|
|
||
|
# siku kwa siku
|
||
|
|
||
|
"muda wote"
|
||
|
|
||
|
# dunia yake yote
|
||
|
|
||
|
"ulimwengu wote alioumba" au " aliumba kila kitu"
|
||
|
|
||
|
# wana wa wanadamu
|
||
|
|
||
|
"watu aliowaleta kuishi ulimwenguni"
|