sw_tn/pro/08/30.md

24 lines
456 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Nilikuwa ubavuni wake
Hekima anasema alikuwa karibu na Yahwe, kumaanisha kuwa alikuwa msaidizi wake katika kuumba dunia.
# fundistadi mjuzi
Huyu ni mtu amabye aliyefundishwa kwa miaka kutengeneza vitu vizuri kwa matumizi kama samani au nyumba
# furaha
chanzo cha raha au sababu ya kufurahi
# siku kwa siku
"muda wote"
# dunia yake yote
"ulimwengu wote alioumba" au " aliumba kila kitu"
# wana wa wanadamu
"watu aliowaleta kuishi ulimwenguni"