sw_tn/pro/08/17.md

319 B

nawapenda

Huu ni upendo wa asili kati ya marafiki au ndugu

bidii

kuedelea kwa nguvu na uangalifu

Kwangu kuna utajiri na heshima

"Mimi ninautajiri na heshima"

utajiri unaodumu na haki

"kwa hiyo, nitatoa utajiri wa kudumu na haki kwa wale wanaonitafuta"

haki

"uwezo wa kuishi aktika njia iliyo safi"