sw_tn/pro/08/06.md

400 B

wakati midomo yangu inapofunguka

Midomo inamaanisha kinywa cha mtu anayeongea " wakati nipofumbua mdomo wangu kuongea"

adili

"sawa" au "haki"

kinywa changu hunena

" mimi ninasema"

kilicho cha kweli

"kile ambacho watu wanapaswa kuamini"

uovu ni chukizo katika midomo yangu

"uovu ni chukizo kwangu" au "kusema vitu viovu ingekuwa ni chukizo kwangu"

uovu

inamaanisha maneno maovu