forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
558 B
Markdown
28 lines
558 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hekima ananena kwa watu katika mistari 4-36
|
|
|
|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari mingi katika sura ya 8 ni mlinganisho au usambamba
|
|
|
|
# Je Hekima haiti?
|
|
|
|
Hekima anaita
|
|
|
|
# Je Hekima haiti?
|
|
|
|
Maana yake 1)Je hekima siyo kama mwanamke ambaye huita? 2) Je mwanamke aitwaye Hekima haiiti?
|
|
|
|
# Je Ufahamu hapazi sauti yake?
|
|
|
|
Hapa neno "Ufahamu" ni sawa na neno "Hekima"
|
|
|
|
# malango kwenye njia ya kuingia mjini
|
|
|
|
Nyakati za kale, miji mara nyingi ilikuwa na kuta za nje pamoja malango.
|
|
|
|
# anaita
|
|
|
|
Hekima imevikwa sifa ya utu kama mwanamke(angalia Tashhisi)
|