sw_tn/pro/08/01.md

558 B

Maelezo ya Jumla

Hekima ananena kwa watu katika mistari 4-36

Maelezo ya Jumla

Mistari mingi katika sura ya 8 ni mlinganisho au usambamba

Je Hekima haiti?

Hekima anaita

Je Hekima haiti?

Maana yake 1)Je hekima siyo kama mwanamke ambaye huita? 2) Je mwanamke aitwaye Hekima haiiti?

Je Ufahamu hapazi sauti yake?

Hapa neno "Ufahamu" ni sawa na neno "Hekima"

malango kwenye njia ya kuingia mjini

Nyakati za kale, miji mara nyingi ilikuwa na kuta za nje pamoja malango.

anaita

Hekima imevikwa sifa ya utu kama mwanamke(angalia Tashhisi)