forked from WA-Catalog/sw_tn
453 B
453 B
hasira
"udhika sana"
hataonesha huruma
mtu ambaye mke wake amezini na mwanaume wingine " atakuumiza kadri anavyoweza"
wakati wa kulipiza kisasi
"kipindi analipza kisasi"
kulipiza kisasi
ni mtu kusababisha maumivu kwa mtu mwingine ambaye alitangulia kumwumiza hapo mwazo
fidia
"malipo"
hataweza kununuliwa
"hutaweza kumlipa pesa za kutosha kuibadili akili yake"
ingawa
"hata kama"
utampa
"kutoa kitu" au "kuadidi kutoa"