forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
424 B
Markdown
28 lines
424 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Hii ni orodha ya vitu ambayo Yahwe huchukia kama vilivyotajwa katika 6:16
|
|
|
|
# macho...ulimi... mikono... moyo...miguu
|
|
|
|
Sehemu zote hizi za mwili zinamwelezea mwandamu kamili "watu"
|
|
|
|
# humwaga damu ya
|
|
|
|
"kuua" au "uuaji wa mtu kwa kusudi"
|
|
|
|
# njama mbaya
|
|
|
|
"mipango miovu"
|
|
|
|
# anong'onaye uongo
|
|
|
|
"kusema uongo siku zote"
|
|
|
|
# mafarakano
|
|
|
|
agalia 6:14
|
|
|
|
# mtu apandaye mafarakano
|
|
|
|
"mtu amabaye huondoa maelewano"
|