sw_tn/pro/06/17.md

424 B

Sentensi Unganishi

Hii ni orodha ya vitu ambayo Yahwe huchukia kama vilivyotajwa katika 6:16

macho...ulimi... mikono... moyo...miguu

Sehemu zote hizi za mwili zinamwelezea mwandamu kamili "watu"

humwaga damu ya

"kuua" au "uuaji wa mtu kwa kusudi"

njama mbaya

"mipango miovu"

anong'onaye uongo

"kusema uongo siku zote"

mafarakano

agalia 6:14

mtu apandaye mafarakano

"mtu amabaye huondoa maelewano"