forked from WA-Catalog/sw_tn
424 B
424 B
Sentensi Unganishi
Hii ni orodha ya vitu ambayo Yahwe huchukia kama vilivyotajwa katika 6:16
macho...ulimi... mikono... moyo...miguu
Sehemu zote hizi za mwili zinamwelezea mwandamu kamili "watu"
humwaga damu ya
"kuua" au "uuaji wa mtu kwa kusudi"
njama mbaya
"mipango miovu"
anong'onaye uongo
"kusema uongo siku zote"
mafarakano
agalia 6:14
mtu apandaye mafarakano
"mtu amabaye huondoa maelewano"