sw_tn/pro/06/12.md

440 B

Mtu asyefaa...mtu mwovu

inasisitiza juu ya ubaya wa huyu mtu "mtu asiyekuwa na thamani-mtu mwovu"

huishi kwa udanganyifu wa kauli zake

"husema uongo daima"

hukonyeza macho yake, akifanya viashiria kwa miguu yake na kusonta kwa vidole vyake

Hii ni vile mtu mwovu huwasiliana kwa siri ili kudanganya watu wengine.

hukonyeza macho yake

mtu akikonyeza hufumba jicho moja kwa muda mfupi kama kiashiria cha siri kwa mtu mwingine.