forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
832 B
Markdown
32 lines
832 B
Markdown
# Je utalala hata lini ... lini utainuka kutoka kwenye usingizi?
|
|
|
|
"Amka, wewe mtu mzembe! Inuka kwenye kitanda chako"
|
|
|
|
# Usingizi kidogo ... mikono kujipumzisha
|
|
|
|
Haya ni aina ya mambo amabayo watu wazembe husema
|
|
|
|
# Lala kidogo, sinzia kidogo
|
|
|
|
"nitaendelea kulala zaidi"
|
|
|
|
# kukunja mikono kwa kujipumzisha
|
|
|
|
"nitakunja mikono yangu kwa utaulivu na kupumzika kidogo"
|
|
|
|
# na umasikini wako utakuja
|
|
|
|
"ukiendelea kuwa mzembe, umasikini wako utakuja" au " Wakati umelala, umasikini utakuja"
|
|
|
|
# umasikini wako utakuja kama mnyang'anyi
|
|
|
|
ghafula utakuwa masikini, kana kwamba mnyang'anyi amekuja na kukuibia kila kitu ulichonacho"
|
|
|
|
# na uhitaji wako kama askari mwenye silaha
|
|
|
|
"na utakuwa mhitaji kana kwamba askari mwenye silaha amekuibia vitu vyako vyote"
|
|
|
|
# askari mwenye silaha
|
|
|
|
"askari ambaye ameshikilia silaha" au "mtu mwenye silaha"
|