sw_tn/pro/06/06.md

638 B

Mtazame...zitafakari

"jifunze ...fikiri juu yake" au "cunguza kwa umakini... tafakari"

chungu

ni mdudu mdogo ambaye huishi ardhini au kichuguu anachojenga mwenyewe. Huishi katika makundi ya maelfu, na wanaweza kunyanyua viti vikubwa kuliko wenyewe.

zitafakari njia zake

"tafakari jinsi chungu anavyotenda"

kamanda, ofisa, au mtawala

Haya ni maneno yenye maana moja kusisitiza kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka rasmi juu ya chungu .

huandaa chakula chake wakati wa jua... wakati wa mavuno huhifadhi chkula chake

Hapa inaonesha ni jinsi gani chungu huwajibika

wakati wa jua

ni majira ambapo baadhi ya miti huzaa matunda