forked from WA-Catalog/sw_tn
638 B
638 B
Mtazame...zitafakari
"jifunze ...fikiri juu yake" au "cunguza kwa umakini... tafakari"
chungu
ni mdudu mdogo ambaye huishi ardhini au kichuguu anachojenga mwenyewe. Huishi katika makundi ya maelfu, na wanaweza kunyanyua viti vikubwa kuliko wenyewe.
zitafakari njia zake
"tafakari jinsi chungu anavyotenda"
kamanda, ofisa, au mtawala
Haya ni maneno yenye maana moja kusisitiza kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka rasmi juu ya chungu .
huandaa chakula chake wakati wa jua... wakati wa mavuno huhifadhi chkula chake
Hapa inaonesha ni jinsi gani chungu huwajibika
wakati wa jua
ni majira ambapo baadhi ya miti huzaa matunda