forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
638 B
Markdown
24 lines
638 B
Markdown
|
# Mtazame...zitafakari
|
||
|
|
||
|
"jifunze ...fikiri juu yake" au "cunguza kwa umakini... tafakari"
|
||
|
|
||
|
# chungu
|
||
|
|
||
|
ni mdudu mdogo ambaye huishi ardhini au kichuguu anachojenga mwenyewe. Huishi katika makundi ya maelfu, na wanaweza kunyanyua viti vikubwa kuliko wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# zitafakari njia zake
|
||
|
|
||
|
"tafakari jinsi chungu anavyotenda"
|
||
|
|
||
|
# kamanda, ofisa, au mtawala
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno yenye maana moja kusisitiza kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka rasmi juu ya chungu .
|
||
|
|
||
|
# huandaa chakula chake wakati wa jua... wakati wa mavuno huhifadhi chkula chake
|
||
|
|
||
|
Hapa inaonesha ni jinsi gani chungu huwajibika
|
||
|
|
||
|
# wakati wa jua
|
||
|
|
||
|
ni majira ambapo baadhi ya miti huzaa matunda
|