sw_tn/pro/05/20.md

414 B

Mwanangu, kwa nini wewe, uwe mateka wa malaya; kwa nini kuyakumbatia maziwa ya mwanamke asiye mwadilifu?

"Mwanangu, usitekwe na malaya!Usikumbatie maziwa mwanamke asiye mwadilifu!"

uwe mateka wa malaya

"kuruhusu malaya kukuteka wewe"

huona kila jambo... huzitazama njia zote

Mungu anafahamu kila jambo analolifanya kila mtu

njia zote anazochukia

"kila sehemu anapokwenda" au "kila kitu anachofanya"