forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
414 B
Markdown
16 lines
414 B
Markdown
|
# Mwanangu, kwa nini wewe, uwe mateka wa malaya; kwa nini kuyakumbatia maziwa ya mwanamke asiye mwadilifu?
|
||
|
|
||
|
"Mwanangu, usitekwe na malaya!Usikumbatie maziwa mwanamke asiye mwadilifu!"
|
||
|
|
||
|
# uwe mateka wa malaya
|
||
|
|
||
|
"kuruhusu malaya kukuteka wewe"
|
||
|
|
||
|
# huona kila jambo... huzitazama njia zote
|
||
|
|
||
|
Mungu anafahamu kila jambo analolifanya kila mtu
|
||
|
|
||
|
# njia zote anazochukia
|
||
|
|
||
|
"kila sehemu anapokwenda" au "kila kitu anachofanya"
|