sw_tn/pro/05/01.md

210 B

Maelezo ya Jumla

Mwandishi ananena kama baba anayewafundisha watoto wake.

tega masikio yako

"sikiliza kwa makini"

busara

angalia 1:4

midomo yako iyalinde maarifa

"utaongea ambacho ni ukweli tu"