sw_tn/pro/04/22.md

517 B

maneno yangu ni uzima

"maneno yangu yanaleta uzima"

kwa wale wanaozipata

"kwa wale wanaozifahamu na kuzitenda"

afya katika mwili wao wote

"maneno yangu yataleta afya katika mwili wote kwa wale wanaoyapata"

utunze moyo wako salama na kuulinda

"tunza akili yako salama na kuyalinda mawazo yako"

kwa bidii yote

"kwa uthabiti na nguvu"

kutoka kwenye moyo wako hububujika chemchemi za uzima

"kila kitu unachosema huja kutoka katika mawazo yako" au "mawazo yako hubainisha mwenendo wa maisha yako"