sw_tn/pro/04/16.md

332 B

hawezi kulala hadi watende ubaya

watu waovu hutamani kutenda matendo mabaya

wameporwa usingizi wao

"hawawezi kulala"

hadi wamwangushe mtu

"mpaka wadhuru mtu"

wanakula mkate wa uovu na kunywa mvinyo wa vurugu

"wanakula mkate ambao wanaupata kwa kutenda mambo maovu na kunywa mvinyo ambao wanaupata kwa njia ya vurugu"