sw_tn/pro/04/13.md

349 B

shika maagizo, usiyaache yaondoke

"endelea kutii yale niyokufundisha na usiyasahau"

maana ni uzima wako

"maana yatautunza uzima wako"

usiifuate njia ya waovu na usienende kwenye njia ya wale watendao maovu

"usifanye yale wanayofanya watu waovu na usijiunge katika matendo ya watu watendao ubaya"

Jiepushe nayo

"iepuke njia ya waovu"