sw_tn/pro/04/10.md

427 B

na uyasikilize maneno yangu

"sikiliza kwa kuzingatia ninachokufundisha"

utakuwa na miaka mingi ya maisha yako

"utaishi miaka mingi"

Nianakulekeza katika njia ya hekima; Mimi ninakuongoza kwenye njia nyoofu

"niakufundisha jinsi ya kuishi kwa busara; ninafafanua njia njema ya kuishi"

unapotembea, hapana mtu atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia, hutajikwaa

"unapopanga kitu, utafanikiwa kukitekeleza"