forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
427 B
Markdown
16 lines
427 B
Markdown
|
# na uyasikilize maneno yangu
|
||
|
|
||
|
"sikiliza kwa kuzingatia ninachokufundisha"
|
||
|
|
||
|
# utakuwa na miaka mingi ya maisha yako
|
||
|
|
||
|
"utaishi miaka mingi"
|
||
|
|
||
|
# Nianakulekeza katika njia ya hekima; Mimi ninakuongoza kwenye njia nyoofu
|
||
|
|
||
|
"niakufundisha jinsi ya kuishi kwa busara; ninafafanua njia njema ya kuishi"
|
||
|
|
||
|
# unapotembea, hapana mtu atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia, hutajikwaa
|
||
|
|
||
|
"unapopanga kitu, utafanikiwa kukitekeleza"
|