sw_tn/pro/03/03.md

392 B

usiruhu agano la uadilifu na uaminifu viondoke kwako

Hakikisha unatekeleza agano la uadilifu na uaminifu daima.

uyafunge pamoja kwenye shingo yako

uoneshe kwa furaha kama mtu ambovyo huvaa mikufu shingoni

yaandika kwenye kibao cha moyo wako

daima uyakumbuke kana kwamba umeyaandika kwenye kibao cha kudumu

katika upeo wa Mungu na wanadamu

katika hukumu ya Mungu na wanadamu