sw_tn/pro/02/20.md

417 B

kwa hiyo

mwandishi anasema faida za kupata ufahamu na busara

utatembea katika njia... fuata njia

utaishi katika njia... kufuata mfano

waovu wataondolewa kutoka katika nchi

"Yahwe atawaondoa waovu kutoka katika nchi"

waovu... wasioamini

"wale ambao ni waovu ... wale wasiokuwa na imani" au "watu waovu ... watu wasioamini"

wasioamini wataondolewa katika nchi

ambao hawaamini atawaondoa katika nchi