forked from WA-Catalog/sw_tn
417 B
417 B
kwa hiyo
mwandishi anasema faida za kupata ufahamu na busara
utatembea katika njia... fuata njia
utaishi katika njia... kufuata mfano
waovu wataondolewa kutoka katika nchi
"Yahwe atawaondoa waovu kutoka katika nchi"
waovu... wasioamini
"wale ambao ni waovu ... wale wasiokuwa na imani" au "watu waovu ... watu wasioamini"
wasioamini wataondolewa katika nchi
ambao hawaamini atawaondoa katika nchi