forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
558 B
Markdown
20 lines
558 B
Markdown
# nyumba yake inaelekea mauti
|
|
|
|
kwenda kwenye nyumba yake husanabisha mauti au njia ya kwenda nyumbani kwake ni njia ya kuelekea katika mauti.
|
|
|
|
# mapito yake yatakuongoza
|
|
|
|
njia za kwenda kwenye nyumba yake zitakuongoza au namna ya anavyoishi itakuongoza.
|
|
|
|
# kwa wale waliopo kwenye kaburi
|
|
|
|
roho za watu wafu, ni picha ya sehemu ya wafu
|
|
|
|
# huingia kwake
|
|
|
|
kwenda kwenye nyumba yake na kulala pamoja naye, kama ambayo mtu anavyo lala na malaya.
|
|
|
|
# hatazifikia njia za uzima
|
|
|
|
hawataishi maisha ya furaha tena au hawataweza kurudi katika nchi ya watu wenye uhai
|