sw_tn/pro/02/14.md

296 B

Hufurahia

hawa ni watu waliotajwa katika 2:11

hufurahia katika upotevu wa uovu

wanafurahi kutenda mambo ambayo wanajua ni maovu

Hufuata njia za udanganyifu

huwadanganya watu wengine

na hutumia udanganyifu huficha mapito yao

na hudanganga ili mtu yeyote isifahamu jambo walilofanya