forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
643 B
Markdown
28 lines
643 B
Markdown
# kutoka katika kinywa huja maarifa na ufahamu
|
|
|
|
Hapa "kinywa" kinawakilisha Yahwe mwenyewe au Jambo ambalo anasema."Kutoka kwa Yahwe huja maarifa na ufahamu" au "Yahwe anatuambia sisi kile tunapaswa kukijua na kukifahamu"
|
|
|
|
# Huhifadhi sauti ya hekima kwa ajili ya wale ambao humpendeza
|
|
|
|
Yahwe hufundisha kweli kwa wale ambao humpendeza.
|
|
|
|
# kamili
|
|
|
|
yenye kutegemewa
|
|
|
|
# yeye ni ngao kwa wale
|
|
|
|
Kwa kuwa Yahwe anauwezo wa kuwalinda watu wake anatajwa kama ngao.
|
|
|
|
# ambao hutembea katika uadilifu
|
|
|
|
wanaoishi kama wanavyopaswa
|
|
|
|
# huzilinda njia za mwenye haki
|
|
|
|
Mungu huwalinda wale ambao hutenda haki
|
|
|
|
# atailinda njia yao
|
|
|
|
huwalinda wale ambao...
|