sw_tn/pro/02/03.md

721 B

Kama utalia kwa ajili ya ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili yake

'Kama utaweka umuhimu kumwomba Mungu na kumsihi kwa ajili ya ufahamu"

Kama utalia ... kama ukitafuta

Hizi ni kauli zenye amri, zingatia 2:1 na 1:1-2

paza sauti yako

Hii ni nahau, maana yake kuongea kwa sauti kuu au kupiga kelele.

kama utautafuta kama ambavyo ungetafuta fedha na kutafuta ufahamu kama ambayo ungetafuta hazini iliyositirika

kufanya bidii ili kujua maana ya busara.

kama utautafuata... kutafuta ufahamu

Kuwa na jitihada kuijua busara ni kama vile mtu ambavyo hutafuta vitu amabavyo ni vya lazima kwake.

utapata maarifa ya Mungu

kufanikiwa kumjua Mungu kunapewa picha ya kitu ambacho mtu hupata baada ya kutafuata.