forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
721 B
Markdown
24 lines
721 B
Markdown
|
# Kama utalia kwa ajili ya ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili yake
|
||
|
|
||
|
'Kama utaweka umuhimu kumwomba Mungu na kumsihi kwa ajili ya ufahamu"
|
||
|
|
||
|
# Kama utalia ... kama ukitafuta
|
||
|
|
||
|
Hizi ni kauli zenye amri, zingatia 2:1 na 1:1-2
|
||
|
|
||
|
# paza sauti yako
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau, maana yake kuongea kwa sauti kuu au kupiga kelele.
|
||
|
|
||
|
# kama utautafuta kama ambavyo ungetafuta fedha na kutafuta ufahamu kama ambayo ungetafuta hazini iliyositirika
|
||
|
|
||
|
kufanya bidii ili kujua maana ya busara.
|
||
|
|
||
|
# kama utautafuata... kutafuta ufahamu
|
||
|
|
||
|
Kuwa na jitihada kuijua busara ni kama vile mtu ambavyo hutafuta vitu amabavyo ni vya lazima kwake.
|
||
|
|
||
|
# utapata maarifa ya Mungu
|
||
|
|
||
|
kufanikiwa kumjua Mungu kunapewa picha ya kitu ambacho mtu hupata baada ya kutafuata.
|