sw_tn/pro/01/28.md

417 B

Sentensi Unganishi

Hekima anaendelea kuongea

Kisha wataniita

" Kisha wale ambao hunipuuza watanililia kwa msaada"

Kwa sababu wamechukia maarifa

Maarifa ni kujifunza."Kwa sababu wamekataa kujifunza ili wawe na busara"

hawakuchagua hofu ya Yahwe

" hawakumwogopa Yahwe" au "hawakumheshimu na kumtukuza Yahwe"

Hawakufuata maagizo yangu

"hawakuweza kukubali maagizo yangu" au " walikataa ushauri wangu"