forked from WA-Catalog/sw_tn
417 B
417 B
Sentensi Unganishi
Hekima anaendelea kuongea
Kisha wataniita
" Kisha wale ambao hunipuuza watanililia kwa msaada"
Kwa sababu wamechukia maarifa
Maarifa ni kujifunza."Kwa sababu wamekataa kujifunza ili wawe na busara"
hawakuchagua hofu ya Yahwe
" hawakumwogopa Yahwe" au "hawakumheshimu na kumtukuza Yahwe"
Hawakufuata maagizo yangu
"hawakuweza kukubali maagizo yangu" au " walikataa ushauri wangu"