forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
427 B
Markdown
20 lines
427 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hekima anaendelea kuongea.
|
|
|
|
# Sikiliza
|
|
|
|
"kusikiliza kwa umakini"
|
|
|
|
# Mimi nitamimina mawazo yangu kwenu
|
|
|
|
Hekima anawaambia watu kila kitu anachofikiri juu yao, mawazo yake yanaongelewa mithili ya kimiminika ambacho anaweza kuwamiminia.
|
|
|
|
# Mimi nitafanya maneno yangu yajulikane kwenu
|
|
|
|
" Nitawaambia yale ninayoyafikiria"
|
|
|
|
# Mimi nimeunyosha mkono wangu
|
|
|
|
Hii ni nahau maana yake " Nimewaalikeni kuja kwangu"
|