sw_tn/pro/01/23.md

427 B

Maelezo ya Jumla

Hekima anaendelea kuongea.

Sikiliza

"kusikiliza kwa umakini"

Mimi nitamimina mawazo yangu kwenu

Hekima anawaambia watu kila kitu anachofikiri juu yao, mawazo yake yanaongelewa mithili ya kimiminika ambacho anaweza kuwamiminia.

Mimi nitafanya maneno yangu yajulikane kwenu

" Nitawaambia yale ninayoyafikiria"

Mimi nimeunyosha mkono wangu

Hii ni nahau maana yake " Nimewaalikeni kuja kwangu"