sw_tn/pro/01/18.md

393 B

Watu hawa huvizia ili kujiangamiza wenyewe- huweka mtego kwa ajili yao wenyewe

watu hujiangamiza wenyewe kwa mambo ya dhambi... ni kama hutega mtego kwa kujiangamiza wenyewe.

Hivyo ndivyo zilivyo njia za kila mmoja

"hivi ndivyo inavyotokea kwa kila mmoja"

mapato ya udhalimu huondoa maisha ya wale ambao huyashikilia

"mapato ya udhalimu yatawaharibu wale ambao hushushikamana nayo"