forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
569 B
Markdown
20 lines
569 B
Markdown
# usiende katika njia ile pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa ambapo wao hupita
|
|
|
|
kuepuka kuwa kwenye njia ya wenye dhambi" usiende pamoja na wenye dhambi au kutende matendo yao"
|
|
|
|
# miguu yao hukimbilia maovu
|
|
|
|
"wapo tayari kutenda mambo maovu"
|
|
|
|
# miguu yao hukimbilia
|
|
|
|
"miguu" inawakilisha mtu mwenyewe.
|
|
|
|
# kumwaga damu
|
|
|
|
"damu" ni uzima wa mtu. Kumwaga damu ni kumuua mtu.
|
|
|
|
# Kwa maana haifai kutandaza ... akiona
|
|
|
|
Hekima ya ndege ambao hujinasua na mitego wanayoiona inalinganishwa upumbavu wa wenye dhambi ambao hunaswa kwenye mitego ambayo hujitengenezea wenyewe.
|