forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1023 B
Markdown
32 lines
1023 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mstari 12-14 ni mwisho wa kauli ya kihisia ya waovu ambao wanajaribu kuwashawishi wengine kufanya dhambi.
|
|
|
|
# Tuwameze wangali hai, kama kuzimu inavyowachukua wale wenye afya
|
|
|
|
wenye dhambi wanaongea juu ya kuwaua watu wasio na hatia kama kuzimu ambavyo hupeleka chini kwa wafu watu wenye afya.
|
|
|
|
# Tuwameze..., kama kuzimu inavyowachukua wale wenye afya
|
|
|
|
kaburi linafananishwa kama mtu ambaye huwameza wanadamu na kuwapeleka chini katika sehemu ya wafu.
|
|
|
|
# kama kuzimu inavyowachukua wale wenye afya
|
|
|
|
waovu wanatarajia kuwaangamiza mateka wao kwa jinsi ile ile ambayo kuzimu(sehemu ya wafu) inavyowachukua hata watu wenye afya.
|
|
|
|
# tuwafanye kama wale ambao huanguka kwenye shimo
|
|
|
|
"shimo" ni neno jingine lenye maana ya kuzimu au sehemu ambayo wafu huishi.
|
|
|
|
# Tupa kura yako pamoja nasi
|
|
|
|
Hii ni nahau "jiunge nasi"
|
|
|
|
# Sisi kwa pamoja tutakuwa na mkoba mmoja
|
|
|
|
"Mkoba" hapa unawakilisha kila kitu wanachoiba. "Sisi tutagawana kwa usawa kila kitu ambacho tumeiba"
|
|
|
|
# mkoba
|
|
|
|
begi kwa ajili ya kubebea fadha
|